Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#JikingeNaCoronaBakiSalama #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department”
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa – Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
– Ali Kiba akiwa Oman
Nguồn: https://alimentproteine.com/
Xem thêm bài viết khác: https://alimentproteine.com/giai-tri/
Xem thêm Bài Viết:
- ĐAN NGUYÊN HAY NHẤT 2019 – NHẠC BOLERO TRỮ TÌNH HẢI NGOẠI CHỌN LỌC NHỮNG CA KHÚC "SẦU NHẤT" VỀ ĐÊM
- LK Rừng Lá Thấp, Kẻ Ở Miền Xa – Nhạc Lính Hải Ngoại TRƯỜNG VŨ ĐAN NGUYÊN Hay Nhất
- Lạ Lùng(Gain Remix) – Thái Vũ | Nhạc trẻ gây nghiện hay nhất 2020
- Thầy Phong Thủy Tam Nguyên Dạy Phong Thủy Sử Dụng La Bàn 24 Sơn Hướng tìm vị trí Thần Tài Đào Hoa
- Cách khắc phục vàng lá nổi gân xanh ở hoa hồng thành công 100%
nyie mwajua haki angalikua mwajua haki 2015 mwengetuachia kiongozi tulie mchagua nyinyi hamujui ila mabavu2 ndio kazi yenu na udiktetear2bas
Na nyinyi mungu atawachukulia hatua anawapa muda tu
Mimi mlinzi wangu ni mmoja tu simwengine ispokua Allah.yaani hasbiya llah waniimal wakiil.
Udhaifu wenu huu! Unawapa maelekezo ya vitisho police kwa raia wao wakati ww unagombea. Si vichekesho hivo?
Kwendeni uko waznzbar niwatu w kuridhika nyie endeleen kujipanga n kuzulum
Muhimu wafwate katiba na sheria zake na sio maagizo ya wanasiasa ambao ndio chanzo cha dhulma kwa wanyonge wa kila taifa kwenye hii dunia.
Kwani uchaguzi ni ugomvi au ujinga wenu tuu police na uchaguzi vinahusu wapi au ndiyo mnawaeelekeza kuja kudhulumu watu na kwa usenge wao subirini siku kiidoogo mtaona ujinga watakao ufanya halafu wepesi kuzungumziya sheriya wasiyo weza kuitekeleza pumbaav
Mwaka huu hakuna salama maana mnapenda dhulma.
ALLAH anafahamu udhahiri wenu na siri yenu ila namuomba ALLAH awatie nia nzuri,huruma,khofu ya ALLAH,mapenzi pia naufahamu kwamba wao niwanadamu.
Hao mapolisi wa znz wote wana vitumbo.polisi anakua hivyo kweli? Yote dhulma hiyo na mtakwenda kujibu siku ya kiama
Mwaka wowote na Chama chochote kitakacho Kuja kujaaliwa kuongoza znz basi kitu Cha kwanza nikulivunja na kuliunda upya jeshi LA police hapa hatuna walinda Amani Bali tuna genge la magaidi basi
Nawaombea salama ndugu zetu wazanzibar Allah awalinde…maana km wanavosema washajipanga hao piga ua km kawaida yao.
Fitna zishaanza
Hao wote ni washirikina na wazinifu wiz walevi.
Peace home island zanzibar people binandam hawanaguvu
Kaka hamadi hata kusema INN SHAA ALLAH hwz wasema tu mwezi wa kumi tunaenda kwenye uchaguzi vipi una uhakika utafika uwo mwezi wa 10 au vipi??
Hata majanjaweed mutawakamata?
Nyote ni majangili nyie katika mavazi ya polisi. Mbwa mwitu katika mavazi ya kondoo. Mumewaweka Wazanzibari mahabusu mwaka karibu wa nane huu bila kupatikana na kosa lolote. Tunamuomba Allah awalipe maovu hapa hapa duniani na kesho akhera kwa uovu mnaotufanyia sisi wananchi wanyonge. Amin
Masauni watoe mashehe kabla cheo hakijakutoka hicho
Jamaa yangu wewe mungu akunusuru kua raisi wetu inshaallah
Mnafiki wambie tu waue wapinzani wapige waibe ili muhimu ccm tu ibaki madarakani
Katika police wote walio kaa hapo pana aliye konda wote wamevimba mitumbo
Duh!! Raisi huyo
Umekuj kuwaelekez wahakikishe CCM inaendelea kubakia madarakan hat kwa mtutu wa bunduk
Tunaemtaka awe Rc wetu ni Muheshimiwa Ayoub
Ninchii isokua nauhuru.nahaki kwaza huyu masauni nimtuu mbaya sn kwawazanzibar namm namuamini Ali karume aliposema huyu sio pao hapa.znz.
Wapongeze kwa dhulma n kuwaeka ndni Mashekhe lkni Mungu ndio hakimu kwa wote n nyinyi mutashulikiwa n Allah
Wale wenzetu kutoka Zanzibar walioko maabusu sasa miaka karibu SITA,hamuoni kama munawadhulumu haki yao?Upelelezi gani huo usiokwisha kwa mda wote huo?Hiyo ndio democracy ya kweli.
Hao polis waliopo hapo sio watakuja vijana wadogo kutoka bara miaka ukitizama kama 30 au 25 wanatikisa zenji hata hao polis walioshiba vitambi utakuta wamejichimbia ndani waogopa kutoka nje vijamaa vipo nje vinatikisa kiberiti wamchanga wamchangani wamlandege wamlange wadarajani wadarajani hatupumui poleni 🙌🙆🙆🙆☹☹☹